Tuesday 22 February 2011

Njenje katika sherehe ya sendoff ya Binti wa IGP Mwema




Mzee Mwinyi na Mzee Lowasa walikuweko




Mduara wa kwanza

Hayaaaaaaaaa

Bi Harusi mtarajiwa in Red, alipendeza mtoto wa watu

Tupige nyimbo gani baada ya hapa? Mi siwasilikizi natuma mesej home



Keki imekaa kama shepu ya mdada fulani

Gere mama yangueeeeeeeee



Asha Baraka, Nyota na Keppy

Mzee Mwema na familia yake


Tuesday 15 February 2011

Mwanza Villa Park kulikuwa raha Valentine


Nyota Abdallah wa Njenje na Anna Mwaole wa Super Kamanyola
 Ilikuwa raha sana kusikiliza kila bendi, na utamu ukazidi pale bendi zote mbili zilipounganika na kuanza kupiga muziki kwa pamoja. Nyimbo za zamani za Tancut, Maquiz, TP OK Jazz na kadhalika ziliporomoshwa. Onyesho lilifana kiasi cha kuwa kuna mipango ya kurudia tena, wakazi wa Mwanza kaeni chonjo, halafu Dar es Salaam
Waziri  na Parash

Wapenzi wa muziki wa Mwanza

Villa Park Mwanza kulikuwa saaaaaaaaaaaaaaafi

Abu na Nyota
 Kwa kweli ilikuwa raha sana, Kilimanjaro Band na wanamuziki wa Super Kamanyola, waliweza kuzikonga nyoyo za mamia ya wapenzi wa muziki wa Mwanza. Rumba lilipigwa, nyonga zili katwa haya picha hizi hapa


Mduara huo



Nyonga


Kata kata
































ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA