Ijumaa 20 May wanachama wa TAPSEA walipata nafasi ya kupata burudani toka kwa Kilimanjaro Band, katika ukumbi wa AICC Arusha. Mduara ulipigwa na nyonga zikazungushwa. Tena kulikuwa na kila design ya nyonga hapa.
Kibonde alikuweko |
Moddy, Abou, Babu Njenje wakisubiri |
Duara linazunguka na nyonga kwa sana |
Wenyewe wanaaiita Ekutiiiii |
Nyota |
Waziri na nyota |
Nyota akutana aliyefanana nae |
No comments:
Post a Comment