Wednesday 25 May 2011

Njenje wapata ugeni wa K Mondo Sound

Mara kwa mara wanamuziki mbalimbali hutembelea maonyesho ya Kilimanjaro band, week-end hii wageni walikuwa bendi nzima ya K Mondo Sound wazee wa Kibajaj, ambao huwa na onyesho lao kila Ijumaa katika ukumbi wa Triz Motel Mbezi, walileta raha katika ukumbi wa Salender Bridge chini ya uongozi wa Mangustino









No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA