Monday 26 September 2011

The Kilimanjaro Band finally preparing for a new album

In very serious reahalsals for a new album. Four songs are raedy, two more to go.
1. Kisebusebu
2. Nyoka
3. Mume wangu



4. Mbitembite are already being performed live and have been received very well by our fans. Like they say in Tanzania Kaeni mkao wa kula

Sunday 11 September 2011

Rambi rambi kwa ndugu zetu wa Zanzibar

Katika wakati huu mgumu tunachukua muda kutoa rambirambi zetu kwa wafiwa wote katika msiba mkuu uliowakumba ndugu zetu wa Unguja na Pemba. Mungu awasaidie wapungue machungu. Na awalaze pema wote waliopoteza maisha

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA