Sunday 30 January 2011

Jumamosi 29 mambo yaliwiva kama kawaida

 
MAMBO YALIKUWA MAMBO KAMA KAWAIDA, RAHA ZILIKUWA RAHA KAMA KAWAIDA, NYONGA ZILIKUWA NYONGA KAMA KAWAIDA,




Aiiiiiiiiiiiii

Mhhhhhhhhhhhhhh

Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii




Tanga hiyo

Barabara ya saba

Singida hiyooooo

Dar hiyoooooooo

ohoooooooooooooo

Kigoma hiyooooooooo

Keppy mwanchie Bass mkuu hapo

Sunday 23 January 2011

Yaliyojiri Njenje January 23

 Kulikuwa na birthday za watu kibao , Magreth wa TBC, Dr.......... mzee wa Botswana, it was fun. Kundi la mabinti kutoka Tanga aksante kwa kuinua kiwango cha kukata nyonga nchini hahahahaha. Kama kawa kulikuw na ugeni wanamuziki, Shaaban Manyanya alikumbusha enzi zake za kupiga drums. ROSE enzio viti vyenu vilibaki vyeupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mama Kosovo, Kosovo, na Bi Nyota

Mwanamke kucheka

Utamu




Nyoka huyo hana kiuno.......................

Nyonga kutoka Moshi we acha tu babangu

Babu Francis na Salum wakiangalia ofisi ya fedha



Sunday 16 January 2011

Jumamosi ya 3 ya 2011 wanamuziki vijana wajitosa Njenje

Herbert Sax mwanamuziki kijana toka Uganda akipiga vyombo mbalimbali vya kupuliza

Herbert na Nyota


Herbert na Keppy

Abou na mwanafunzi wake wa kuimba aliyeimba vizuri wimbo Habibiy

nyongaaaaaaa kama kawa





Kitime  akihamasisha mduara


ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA