Sunday 30 January 2011
Sunday 23 January 2011
Yaliyojiri Njenje January 23
Kulikuwa na birthday za watu kibao , Magreth wa TBC, Dr.......... mzee wa Botswana, it was fun. Kundi la mabinti kutoka Tanga aksante kwa kuinua kiwango cha kukata nyonga nchini hahahahaha. Kama kawa kulikuw na ugeni wanamuziki, Shaaban Manyanya alikumbusha enzi zake za kupiga drums. ROSE enzio viti vyenu vilibaki vyeupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mama Kosovo, Kosovo, na Bi Nyota |
Mwanamke kucheka |
Utamu |
Nyoka huyo hana kiuno....................... |
Nyonga kutoka Moshi we acha tu babangu |
Babu Francis na Salum wakiangalia ofisi ya fedha |
Thursday 20 January 2011
Sunday 16 January 2011
Jumamosi ya 3 ya 2011 wanamuziki vijana wajitosa Njenje
Subscribe to:
Posts (Atom)