Leo ilikuwa siku ya huzuni kwa mwanamuziki mwenzetu Juma Omary nasi wanamuziki wote wa Kilimanjaro Band kwani mwenzetu amefiwa na mama yake mzazi jana katika hospitali ya Temeke na mama amezikwa leo katika makaburi ya Chang'ombe. Mungu amlaze pema mama yetu mpendwa.