Mambo yalinoga mpaka saa kumi na nusu alfajiri, ilikuwa raha tele ya mduara na nyimbo nyingine. Baada ya sita usiku jukwaa lilivamiwa na wapenzi waliochukua nafasi kukumbatiana na wanamuziki katika kutakiana heri kwa mwaka mpya. NJENJE inawatakiwa wapenzi wote heri na fanaka katika mwaka huu wa 2013