Sunday 30 March 2014
Friday 28 March 2014
Tuesday 25 March 2014
NJENJENI JUMAMOSI HII
KAMA kawaida siku ya Jumamosi kuanzia mida ya saa nne na nusu usiku The Kilimanjaro Band huanza maonyesho yake pale Salander Bridge Club , duara huanza kuzungushwa na muziki kutoka kila pande ya dunia hupigwa, nyimbo za Kiarabu, Kihindi, Kispanish, kihehe, Kinyakyusa na makabila mengine husikika Jumamosi hii pia mambo yaliwaka kama kawa. Wanamuziki wa Njenje kazini
Sunday 9 March 2014
BABU NJENJE APANDA JUKWAANI KWA MARA YA KWANZA TOKA 9 DESEMBA 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)