Wakati huo huo mwanamuziki mwingine wa Kilimanjaro Band, Abou Mwinchumu amefanyiwa opereshen ya tonsils wiki hii na hataweza kushiriki katika maonyesho ya bendi kwa muda mpaka atakapopata nafuu. Bendi inaendelea na maonyesho na kutakuweko na mwimbaji mpya kijana ambaye ameonyesha uwezo mkubwa wa kuimba atakae chukua mzigo huo ulioachwa na Babu Njenje na Abou kwa picha za wasanii wakiwa na Babu Njenje ingia hapa
Saturday 23 August 2014
BABU NJENJE ATEMBELEWA NA WANAMUZIKI WALIOSHIRIKI KWENYE FIESTA TANGA
Wakati huo huo mwanamuziki mwingine wa Kilimanjaro Band, Abou Mwinchumu amefanyiwa opereshen ya tonsils wiki hii na hataweza kushiriki katika maonyesho ya bendi kwa muda mpaka atakapopata nafuu. Bendi inaendelea na maonyesho na kutakuweko na mwimbaji mpya kijana ambaye ameonyesha uwezo mkubwa wa kuimba atakae chukua mzigo huo ulioachwa na Babu Njenje na Abou kwa picha za wasanii wakiwa na Babu Njenje ingia hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment