Kilimanjaro Band imenunua kinanda kipya aina ya YAMAHA MOXF8, moja ya vinanda vipya vilivyotolewa na kampuni hiyo maarufu karibuni. Kinanda hicho ambacho thamani yake ni USD 1999 kimeanza kutumika toka onyesho la Idd Mosi na kitatumika katika nyimbo mpya zinazotengezwa na bendi hii.
No comments:
Post a Comment