Thursday 7 August 2014

NJENJE YANUNUA GITAA LA AJABU

GITAA JIPYA AINA YA YAMAHA
Mohamed Mrisho akiwa na Gitaa hili la ajabu ambalo unaweza kulibomoa vipandevipande na kuwa dogo kuweza kukunja na kutembea nalo. Pia unaweza kufanya mazoezi kwa kutumia headphone bila mtu mwingine kulisikia. Gitaa hili lilianza kutumika siku ya Idd Mosi..

No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA