|
GITAA JIPYA AINA YA YAMAHA |
Mohamed Mrisho akiwa na Gitaa hili la ajabu ambalo unaweza kulibomoa vipandevipande na kuwa dogo kuweza kukunja na kutembea nalo. Pia unaweza kufanya mazoezi kwa kutumia headphone bila mtu mwingine kulisikia. Gitaa hili lilianza kutumika siku ya Idd Mosi..
No comments:
Post a Comment