Sunday 20 April 2014
Unamkumbuka Dullah mwanamuziki aliyepitia Msondo kisha Kilimanjaro Band na hatimae Tatunane?
Sunday 13 April 2014
Sunday 6 April 2014
KAMA KAWA JUMAMOSI HII KULIKUCHA
Pamoja na wengi walioingia Njenje Jumamosi hii pia alikuweko Senetor mmoja kutoka Marikani, dancer kutoka New York akiwa na mumewe ambaye ni mwanasheria wa mambo ya sheria za kazi za burudani, Ben Kinyaiya pia alionekana ndani ya nyuma Miss Kiswahili Rehema Fabian nae alikuweko. Na wapenzi wa daima akina Machapata na kundi lake, Kossovo na familia yake, na wengiiiii waliduarika kama kazi. Usikose Jumamosi ijayoooo
MODDY |
WAZIRI |
MWINCHUMU |
KITIME NA KEPI |
YUSUFFFFF |
NYOTA |
DOH KITIME ANAMWAGA MIUNO |
KUNANI PALEEE? |
Subscribe to:
Posts (Atom)