Wakati huo huo mwanamuziki mwingine wa Kilimanjaro Band, Abou Mwinchumu amefanyiwa opereshen ya tonsils wiki hii na hataweza kushiriki katika maonyesho ya bendi kwa muda mpaka atakapopata nafuu. Bendi inaendelea na maonyesho na kutakuweko na mwimbaji mpya kijana ambaye ameonyesha uwezo mkubwa wa kuimba atakae chukua mzigo huo ulioachwa na Babu Njenje na Abou kwa picha za wasanii wakiwa na Babu Njenje ingia hapa
Saturday 23 August 2014
BABU NJENJE ATEMBELEWA NA WANAMUZIKI WALIOSHIRIKI KWENYE FIESTA TANGA
Wakati huo huo mwanamuziki mwingine wa Kilimanjaro Band, Abou Mwinchumu amefanyiwa opereshen ya tonsils wiki hii na hataweza kushiriki katika maonyesho ya bendi kwa muda mpaka atakapopata nafuu. Bendi inaendelea na maonyesho na kutakuweko na mwimbaji mpya kijana ambaye ameonyesha uwezo mkubwa wa kuimba atakae chukua mzigo huo ulioachwa na Babu Njenje na Abou kwa picha za wasanii wakiwa na Babu Njenje ingia hapa
Thursday 7 August 2014
KILIMANJARO BAND YAPATA KINANDA KIPYA
Kilimanjaro Band imenunua kinanda kipya aina ya YAMAHA MOXF8, moja ya vinanda vipya vilivyotolewa na kampuni hiyo maarufu karibuni. Kinanda hicho ambacho thamani yake ni USD 1999 kimeanza kutumika toka onyesho la Idd Mosi na kitatumika katika nyimbo mpya zinazotengezwa na bendi hii.
Subscribe to:
Posts (Atom)