BENDI kongwe ya Kilimanjaro band ambayo ilianzia jijini Tanga miaka zaidi ya 40 iliyopita, ilifanya onyesho lake katika mji huo siku ya Idd, pembeni mwa bwawa la kuogolea la hoteli maarufu ya Tanga Beach Resort. Onyesho hilo lililokuwa na matayarisho mbalimbali ikiwemo wanamuziki wa Kilimanjaro Band kuhojiwa ma radio ya TK FM lilifana na kuisha saa tisa ya usiku siku hiyo
TK FM Tanga |
Abou Mwinchumu na Nyota Abdallah ndani ta TK FM |
Waziri Ally ndani ya TK FM |
Matayarisho ya onyesho |
Show ilianza polepole |
Keppy Kiombile na Babu Njenje ambaye alikuja kwenye show hii na kuimba nyimbo zake kadhaa. Babu Njenje alipata stroke miaka miwili iliyopita na amekuwa Tanga muda wote |
Abou Mwinchum |
Juma Omary |
No comments:
Post a Comment