Baada ya Misa iliyofanyika katika kanisa la St Nicholaus lililopo Mtaa wa Arusha Ilala Dar es Salaam, mwili wa aliyekuwa mweka hazina wa Kilimanjaro Band, Francis Mnguto hatimae ulisafirishwa kwenda kuzikwa Korogwe. Maamuzi ya kuzikwa Korogwe yalifikiwa na ndugu na kubadilisha maamuzi ya awali ya kumzika Francis jijini Dar es Salaam. Francis atazikwa kesho Alhamisi.
Mungu Amlaze Pema Francis
No comments:
Post a Comment