Wednesday 23 August 2017

BABU FRANCIS WA NJENJE KUZIKWA KESHO KOROGWE

Baada ya Misa iliyofanyika katika kanisa la St Nicholaus lililopo Mtaa wa Arusha  Ilala  Dar es Salaam, mwili wa aliyekuwa mweka hazina wa Kilimanjaro Band, Francis Mnguto hatimae ulisafirishwa kwenda kuzikwa Korogwe. Maamuzi ya kuzikwa Korogwe yalifikiwa na ndugu na kubadilisha maamuzi ya awali ya kumzika Francis jijini Dar es Salaam.  Francis atazikwa kesho Alhamisi.
Mungu Amlaze Pema Francis

No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA