Sunday 9 January 2011

Jumamosi ya pili ya 2011

Moddy

Juma zamani alikuwa anaitwa Juma Disco

Abou Mwinchum swaibaaaaaaaa

Moshi hiyooooo Moshi shtua aaaaaaaaaaaa

Mwanaume nyonga pia muhimu siunajua...?

Juma with feelings akiimba, Right here waiting for you

Mwanamke sauti na unayo shosti

Chinyamanyama hiko

Haloooooo

Fender guitar

Babu Njenje na Jesus mduarani

Kachiri kachir saaaga
Kama kawaida mambo ya yalikuwa pouwa. Wapenzi wawili wa Njenje ambao walikutana Njenje na kuoana wiki moja iliyopita, Bea na mkewe, walikuja kama kawaida na tukawapigia kibao cha Tupendane kuwatakia maisha mema. Kulikuwa na jamaa kadhaa toka Oman, wengine walikuja na dada yetu Bi Salma Mtambo, wengine walikuwa kona nyingine wakatuaga kuwa leo wanarudi kwao na Oman Air, basi raha tu. Kama kawa Bi Nyota alendesha mashindano ya nyonga, jambo ambalo ni wazi kwa wiki mbili mfululizo nyonga kutoka Kilimanjaro ndo zimekuwa zinafunika.....!!!!!!,hakuna cha Kigoma, Tanga wala Mtwara hahahahaha achia nyonga mtoto wa Moshi.

No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA