Naona "Garisoo" Keppy akiwajibika hapo juu,Nilishangaa kumuona akikata "kopo" masanga ktk picha zilizopita,na kudhani kuwa ameamua kugida kwa kwenda mbele !!na baada ya kumhoji ktk mazungumzo ya simu akanieleza kuwa ile ilikuwa ni juice tu,na siyo maji yetu yale ya "santimaa" salaam zzikufikie garisoo hapo ulipo. Abbu Omar,Prof.Jnr,Tokyo,Japan
Naona "Garisoo" Keppy akiwajibika hapo juu,Nilishangaa kumuona akikata "kopo" masanga ktk picha zilizopita,na kudhani kuwa ameamua kugida kwa kwenda mbele !!na baada ya kumhoji ktk mazungumzo ya simu akanieleza kuwa ile ilikuwa ni juice tu,na siyo maji yetu yale ya "santimaa" salaam zzikufikie garisoo hapo ulipo.
ReplyDeleteAbbu Omar,Prof.Jnr,Tokyo,Japan