Sunday 5 November 2017

MVUA ZAVUNJA ONYESHO LA JUMAMOSI LA KILIMANJARO BAND

MVUA zilizopiga siku nzima jana JUmamosi zimesababisha onyesho la kila wiki la Njenje kutokufanyika. Wananjenje ambao siku ya Ijumaa walikuwa Arusha waliweza kuwahi kufika Dar tayari kwa onyesho lao, lakini hali ya hewa haikuwa rafiki kwa onyesho.
Wapenzi wote mnakaribishwa tena Jumamosi ijayo kama kawaida

No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA