MVUA zilizopiga siku nzima jana JUmamosi zimesababisha onyesho la kila wiki la Njenje kutokufanyika. Wananjenje ambao siku ya Ijumaa walikuwa Arusha waliweza kuwahi kufika Dar tayari kwa onyesho lao, lakini hali ya hewa haikuwa rafiki kwa onyesho.
Wapenzi wote mnakaribishwa tena Jumamosi ijayo kama kawaida
No comments:
Post a Comment