Njenjeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aa Njenje kuna raha, watu wana sura za furaha, wanacheza sana, huku muziki sio kuangalia, huku utacheza tu hakuna stage show huku, muziki ukikuingia katika damu unajimwaga uwanjani Haloo haloo ya Njenjeeeeeeee Kutia Nazi Kunogaaa................... angalia mapicha we acha tu
Ebwanaeee Nyie Kiboko.
ReplyDeleteKumbe Kila Mmoja Anapiga Chombo Chake.
What of NYOTAAA?