Saturday 10 November 2012

MSHINDI WA PILI WA EPIC BSS ASHEREHEKEA USHINDI NJENJE

Waziri na Salma

Kitime na Salma

Nyota na salma

Nyota , Salma, Waziri
Leo ilikuwa sherehe kwa Salma kufika maskani yake ya kawaida baada ya wiki kadhaa za ushindani wa Epic Bongo Star Search, ambapo aliweza kufikia kuwa mshindi wa pili. Kama kawaida alifika hapa na kuimba wimbo wa Ndugu Zangu... Congratulations Salma, ukiamua kufwata muziki utafika mbali.

No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA