Mpenzi mmoja wa Njenje alisikika akimlalamikia mwenzie,
" Aise jana nimeota ndoto mbaya kuliko zote toka nizaliwe", mwenzie akajibu
"Duh kwani umeota nini?".
" Nimeota niko kwenye chumba kimejaa mademu wazuri kama kumi na mbili",
" Sasa hizo si ndio ndoto watu tunazitaka? we vipi?'.
"Ndugu yangu si nimeota na mimi ni demu mojawapo?"
No comments:
Post a Comment