Bendi yenu ya Kilimanjaro Band itakuwa Arusha Ijumaa 20 May 2011, kwa show ya siku moja katika 'private function '. Jumamosi jukwaani Salender Bridge as usual duara litazunguka, nyonga zitanyongwa. Kuna uwezekano mkubwa sana mpenzi maarufu wa Kilimanjaro Band Carl akatoa show kali ya nyonga......................
we wish you all best! Tunasubiri duara jumamosi!
ReplyDeletenivunje kikombe nsivunjeee! na nyotaa wakeee M M M mmmmmmmmm
ReplyDelete