Rambi rambi kwa ndugu zetu wa Zanzibar
Katika wakati huu mgumu tunachukua muda kutoa rambirambi zetu kwa wafiwa wote katika msiba mkuu uliowakumba ndugu zetu wa Unguja na Pemba. Mungu awasaidie wapungue machungu. Na awalaze pema wote waliopoteza maisha
No comments:
Post a Comment