Sunday 6 April 2014

KAMA KAWA JUMAMOSI HII KULIKUCHA

Pamoja na wengi walioingia Njenje Jumamosi hii pia alikuweko Senetor mmoja kutoka Marikani, dancer kutoka New York akiwa na mumewe ambaye ni mwanasheria wa mambo ya sheria za kazi za burudani, Ben Kinyaiya pia alionekana ndani ya nyuma Miss Kiswahili Rehema Fabian nae alikuweko. Na wapenzi wa daima akina Machapata na kundi lake, Kossovo na familia yake, na wengiiiii waliduarika kama kazi. Usikose Jumamosi ijayoooo
MODDY

WAZIRI

MWINCHUMU

KITIME NA KEPI

YUSUFFFFF






NYOTA




DOH KITIME ANAMWAGA MIUNO

KUNANI PALEEE?


No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA