NI mwaka mmoja toka mpiga kinanda na kiongozi wa Kilimanjaro Band Waziri Ally Seif alipofariki, bendi ya Kilimanjaro, wana Njenje walikuwa kimya kwa kipindi karibu chote, sasa bendi hiyo imo katika mazoezi makali na inategemea kuanza onyesho lake la kwanza katika jiji la Dodoma kabla ya mwisho wa mwezi huu. Usikose kutembelea humu kupata taarifa za ratiba ya bendi hii.
HONGERANI saana tunawasubiria kwa hamu.
ReplyDeleteMAMBO YATAKUWA MOTO KULIKO ZAMANI
ReplyDeleteOYOOOOOOO
ReplyDeleteASANTENI NA KARIBUNI SANA
ReplyDelete🙏🏾Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi kila kitu kiende Sawa.🙏🏾Amina.
ReplyDelete