Monday 26 September 2022

KILIMANJARO BAND WAWASHA MOTO DODOMA, IT WAS GREAT

 

Nyota Abdallah

JUMAMOSI tarehe 24 Septemba 2022 ilikuwa siku ambayo kwa mara ya kwanza bendi ya Kilimanjaro Band ilifanya onyesho katika uwanja wa maegesho ya magari wa Capital City Mall. Muziki ulianza rasmi saa 4 usiku kwa muziki wa taratibu na ilipofika saa tano Njenje wakaanza kwa kupiga wimbo maarufu wa Njenje. Kisha kukawa na mchanganyiko wa aina mbalimbali za muziki kama ilivyo kawaida ya bendi hii. Vijana wadogo wapya ambao wamechukuliwa kuendeleza bendi hii hakika waliweza kuzikonga nyoyo za washabiki wakiokuwepo katika onyesho hilo.

Martha, muimbaji mpya wa Kilimanjaro Band

Abou Mwinychumu

Mkongwe Mohamed 'Moddy' Mrisho

John kitime


No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA