![]() |
Nyota Abdallah |
JUMAMOSI tarehe 24 Septemba 2022 ilikuwa siku ambayo kwa mara ya kwanza bendi ya Kilimanjaro Band ilifanya onyesho katika uwanja wa maegesho ya magari wa Capital City Mall. Muziki ulianza rasmi saa 4 usiku kwa muziki wa taratibu na ilipofika saa tano Njenje wakaanza kwa kupiga wimbo maarufu wa Njenje. Kisha kukawa na mchanganyiko wa aina mbalimbali za muziki kama ilivyo kawaida ya bendi hii. Vijana wadogo wapya ambao wamechukuliwa kuendeleza bendi hii hakika waliweza kuzikonga nyoyo za washabiki wakiokuwepo katika onyesho hilo.
![]() |
Martha, muimbaji mpya wa Kilimanjaro Band |
![]() |
Abou Mwinychumu |
![]() |
Mkongwe Mohamed 'Moddy' Mrisho |
![]() |
John kitime |
No comments:
Post a Comment