Monday 26 December 2022

MKUTANO WA MWISHO WA MWAKA WA NJENJE FAN CLUB WAFANA

 WAPENZI wa Kilimanjaro Band katika kundi lao linalojulikana kama Njenje Fan Club wakiwa na baadhi ya wanamuziki wa bendi hiyo, leo walikuwa na mkutano wao wa kufunga mwaka 2022. Kilimanjaro Band inatarajiwa kuanza kufanya maonyesho ya kawaida ya kila wiki mapema mwanzoni mwa 2023. Bendi imo katika matayarisho ya  kusherehekea miaka 50 toka kuanzishwa kwa bendi hiyo.












Geophrey Kumburu - mpiga keyboards Kilimanjaro Band








No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA