WAPENZI wa Kilimanjaro Band katika kundi lao linalojulikana kama Njenje Fan Club wakiwa na baadhi ya wanamuziki wa bendi hiyo, leo walikuwa na mkutano wao wa kufunga mwaka 2022. Kilimanjaro Band inatarajiwa kuanza kufanya maonyesho ya kawaida ya kila wiki mapema mwanzoni mwa 2023. Bendi imo katika matayarisho ya kusherehekea miaka 50 toka kuanzishwa kwa bendi hiyo.
![]() |
Geophrey Kumburu - mpiga keyboards Kilimanjaro Band |
No comments:
Post a Comment