Leo tarehe 15 June, ni birthday ya Mabrouk Khamis maarufu Babu Njenje, mwanamuziki huyu wa siku nyingi aliyeanza kwa kupiga drums amefikia umaarufu wa kuimbia na kujulikana sana katika nyimbo zake za mduara kama vile Kinyaunyau, Kachiri, na baada ya recording ya album mpya ya njenje kuna nyimbo kama Kisebusebu, na Nyoka ambazo zitakuwa kumbukumbu za sauti yake daima...Happy Birthday Babu Njenje, Baba Lulu
It was a classic interview at cloudsfm radio though I didn't understand much of swahili words, but with the help of our house captain, I managed some words . Brand Tanzania and the whole crew wish you a very happy birth day and many years to come. I promise to attend one of your shows in dar soon with our house captain Mr. Louie Kifanga.
ReplyDeleteAll the best Mr. Mabrouk and your family.
Jerry Leffroy
Thank you Jerry. Thank you very much
ReplyDeleteHappy birthday mkuu Mabrouk aka "Babu Njenje"Nakutakia mafanikio na afya njema wewe pamoja na familia yako pia ndugu zangu wote wa Njenje, nyote kwa pamoja muendelee kukaza buti kama kawaida ili bendi yetu iweze kudumu katika anga za burudani.Nisalimie wana Njenje wote,Wishing you all the best.
ReplyDeleteAbbu Omar,Prof.Jnr(Mwanamuziki)Tokyo,Japan.