Waziri Ally alitangaza kuwa kuna nyimbo mpya ambayo wapenzi wangeonjeshwa kwa hiyo watayarishe nyonga, kwa kweli matokeo yake ni ya ajabu sana. Wakati wimbo ukiendelea wapenzi waliucheza, wengine wakavamia jukwaa, na kumtuza fedha nyingi Nyota ambaye alikuwa akiimba wimbo huo. Ni mara ya kwanza kuona watu wakipanda jukwaani na kuanza kukumbatia wanamuziki kwa kupiga nyimbo mpya. Aksante Mungu kwa kutupatia kipaji hiki
No comments:
Post a Comment