Mpenzi maarufu wa Kilimanjaro Band Juma Machapati kaoa wiki hii na akaona ni bora sehemu yasherehe aihamishie katika onyesho la Njenje. Kulikuwa na patashika nguo kuchanika , Machapati na Mkewe pichani walianza sherehe kwa wimbo uitwo Kisebusebu na Kirohopapo, Champagne zilifunguliwa, Keki zilikatwa, nyonga zilikatwa, zawadi kemkem zilimiminika. Wanamuziki wa Kilimanjaro Band wanawatakia maharusi ndoa njema ya raha itakayodumu
It's coll to celebrate with people at times, but can any one tell me is the Nyionga!! njenje band why why why????
ReplyDeleteWe at brand Tanzania are not happy at all.
Thanks
Gerry Lefroy
Hahahahahahaha sorry for the delay
ReplyDelete