Saturday 11 June 2011

Sherehe ya harusi ya Machapati

 
Mpenzi maarufu wa Kilimanjaro Band Juma Machapati kaoa wiki hii na akaona ni bora sehemu yasherehe aihamishie katika onyesho la Njenje. Kulikuwa na patashika nguo kuchanika , Machapati na Mkewe pichani walianza sherehe kwa wimbo uitwo Kisebusebu na Kirohopapo, Champagne zilifunguliwa, Keki zilikatwa, nyonga zilikatwa, zawadi kemkem zilimiminika. Wanamuziki wa Kilimanjaro Band wanawatakia maharusi ndoa njema ya raha itakayodumu






2 comments:

  1. It's coll to celebrate with people at times, but can any one tell me is the Nyionga!! njenje band why why why????
    We at brand Tanzania are not happy at all.

    Thanks
    Gerry Lefroy

    ReplyDelete
  2. Hahahahahahaha sorry for the delay

    ReplyDelete

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA