MSIBA MKUBWA, PUMZIKA KWA AMANI AGNES KABALO MNGUTO
The Kilimanjaro Band imepata msiba mzito kwa kifo cha Agnes Mnguto aliyekuwa mke wa Meneja wa muda mrefu wa Kilimanjaro Band, Steven Mnguto. Agnes mwenyewe alikuwa mpenzi mkubwa wa kilimanjaro Band. Mungu amlaze pema peponi
No comments:
Post a Comment