Tuesday 25 March 2014

NJENJENI JUMAMOSI HII

KAMA kawaida siku ya Jumamosi kuanzia mida ya saa nne na nusu usiku The Kilimanjaro Band huanza maonyesho yake pale Salander Bridge Club , duara huanza kuzungushwa na muziki kutoka kila pande ya dunia hupigwa, nyimbo za Kiarabu, Kihindi, Kispanish, kihehe, Kinyakyusa na makabila mengine husikika Jumamosi hii pia mambo yaliwaka kama kawa. Wanamuziki wa Njenje kazini




No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA