Mwimbaji wetu mwenye mafanikio mengi yuko katika mchakato wa kuliweka jina la wanamuziki wa Tanzania katika ramani ya muziki. Tumpigie kura Lady Jaydee ili aweze kushinda (PAM Awards) tuzo za Pearl of Africa Music Awards ili kumpigia kura.....andika 36 acha nafasi, kisha andika Lady Jay D tuma ujumbe kwenda namba + 256 752 600 100
No comments:
Post a Comment