Saturday 3 March 2012

Njenje watembelewa na East African Melody

Mara kwa mara bendi hutembelewa na wanamuziki aina mbalimbali, leo tumetembelewa na East African Melody, wakaburudisha na kibao cha Kinyago cha mpapure na vinginevyo, wageni wengine walikuwa wanamuziki wa Kalunde Band, na bibie Ashura toka B Band











No comments:

Post a Comment

ON STAGE

ON STAGE
ON STAGE

TUNAANZA MWAKA NA NGUVU MPYA